Lyric provided by www.seekalyric.com |
mapacha hawatenganishwi kalmu nami muandishi muandishi, usinilenge mi malanga aa, sina mengi mimi nina shairi mashairi chorus oooh wajua nakupendaaa, wajua nakulinda musichana wa afrika wajua nakupendaaa, wajua nakulinda we kidosho wa afrika we uje nizalie musichana nami nikupe wewe kijana penzi linawiri nakamwe tusilisalitiii sina mengi mm nina shairi mashairi wwoouuuu! chorus wo wo woouuux2 ooooh ni wewe tuu,ni wewe napeeendaa niwewe wewe ni wewe nataka africa nzima yakutamani ni weweee ni wewe wewe wewe wewe wewe eeee |