Sauti Sol - Asante Sana Baba Lyrics

  • Artist/Band:
  • Album:
  • Song Title:
  • Text Options:
  • Share & Like:

Asante sana baba yangu
Umenipa mafunzo ya ajabu
Kunifunza kweli ni taabu
Nafanya kazi usiaibike X2

Sintokusahau maishani baba yangu
Umenielimisha, rekebisha kanipa mawaidha
Baisikeli kanipandisha
Nguo za kifahari kanivalisha
Nayo majuto ni mjukuu
Tega sikio usiseme I wish I knew

Asante sana baba yangu
Umenipa mafunzo ya ajabu
Kunifunza kweli ni taabu
Nafanya kazi usiaibike X2

Huuuuuuuu baba heiiii

Desturi na mila [umenifundisha]
Kulinda familia [aaaaahhhhhh]
Kuheshimu bibilia [bibilia kabisa]
Kumtunza malkia [maaaaaama]
Mtu mwenye heshima [na kila hekima]
Mfano mwema [aaaaaaahhhh]
Kwa kupanda na kulima [umenishughulikia]
Mfano mwema, [babaaaaaaaa]

Asante sana baba yangu
Umenipa mafunzo ya ajabu
Kunifunza kweli ni taabu

Nafanya kazi usiaibike
Baba baba baba baba [yangu]
Asante sana baba yangu [ni wewe]
Umenipa mafunzo ya ajabu [eeeeeehhh]
Kunifunza kweli ni taabu [ni wewe baba]
Nafanya kazi usiaibike

Aaaaaaaaaaaaaaaaa X3

Uuuuuuuuuuuuuuu X2

Asante sana baba yangu
Umenipa mafunzo ya ajabu
Kunifunza kweli ni taabu
Nafanya kazi usiaibike X2
Aaaa asante
Daddy ooooh
Dadddy ooododoooe
Wewe ni baba [Daddy ooooh]
Wewe ni baba [Ooooooh]
Wewe ni baba yangu
Wewe ni baba
Wewe ni baba yangu
Wewe ni baba
Wewe ni baba [Weweeeee weweeeee]
Wewe ni baba yangu
Wewe uweiyeiye
Wewe ni baba
Wewe weweeee
Wewe ni daddy daddy daddy daddy daddy daddy
Wewe ni baba

Search Song Lyrics
Browse Artists

A B C D E F G H I J K L M N
O P Q R S T U V W X Y Z #

Hide preview
Lyrics and Video Widget:

Code for your site/blog/space

Click above to select the code then right click & copy to get the code to paste onto your site/blog